Ufunuo 17:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 Yule mwanamuke alikuwa amevaa nguo za rangi nyekundunyeusi na nyekundu sana za bei kali, tena alikuwa amejipamba kwa zahabu, mawe ya bei kali na ushanga wa bei kali. Naye alikuwa anashika katika mukono wake kikombe kilichotengenezwa na zahabu chenye kujaa machukizo na mambo machafu ya uasherati wake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Lakini watu hawa wanafanya wanavyotaka: wananitolea sadaka ya ngombe na tena wanaua watu kwa kutambikia. Wananitolea sadaka ya mwana-kondoo na vilevile wanaua imbwa. Wananitolea sadaka ya unga na vilevile wanatolea damu ya nguruwe. Wanachoma ubani mbele yangu na kwenda kuabudu miungu ya uongo. Hao wamechagua kufuata njia zao wenyewe.
za zahabu, feza, mawe ya bei kali, ushanga, nguo zilizofumwa na nyuzi zuri pamoja na nguo nzuri za rangi nyekundu nyeusi na nyekundu sana, miti yote yenye kunuka vizuri, vyombo vyote vyenye kutengenezwa na pembe, na vyote vinavyochongwa na miti ya bei kali, na vyombo vyote vya shaba, vya chuma, vya mawe yenye kuchongwa,