Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Ufunuo 16:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Malaika wa tatu akamwanga kikombe chake katika mito na chemichemi za maji, na maji yao yakageuka damu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Ufunuo 16:4
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Aligeuza ile mito kuwa damu, Wamisri wasipate maji ya kunywa.


Musa akamujibu mufalme wa Misri: “Basi! Unaweza kutaja wakati unaotaka nikuombee kwa Mungu, niwaombee wakubwa wako na watu wako. Nitamwomba awaangamize vyura hawa wanaokuwa katika nyumba zenu. Watabaki tu katika muto Nili!”


Nilipokuja, kwa nini sikukuta mutu? Nilipoita mbona hamukuitikia? Mukono wangu ni mufupi hata nisiweze kuwaokoa ninyi? Sina nguvu ya kuwakomboa? Ninakausha bahari kwa kuikaripia, na mito ninaifanya kuwa jangwa; samaki wake wanakufa na kunuka kwa kukosa maji.


Nitajaza milima yako watu waliouawa; na katika vilima vyako na mabonde yako na mitelemuko yako yote kutakuwa watu waliouawa kwa upanga.


Hata kama Efuraimu atastawi kama nyasi, mimi Yawe nitavumisha upepo mukali wa mashariki, upepo utakaotokea kule katika jangwa, nao utakausha visima vyake, chemichemi zake zitakauka. Vitu vyake vyote vya bei kali vitaharibiwa.


Nao wako na uwezo wa kufunga mbingu kusudi mvua isinyeshe wakati wanapotangaza ujumbe wa Mungu. Wako vilevile na uwezo wa kugeuza maji kuwa damu, na uwezo wa kuleta mapigo ya kila namna kila wakati wanapotaka.


Halafu akasema kwa sauti kubwa: “Mumuheshimu Mungu na kumutukuza, kwa sababu saa yake ya kuwahukumu watu imetimia. Mumwabudu yule aliyeumba mbingu na dunia, bahari na chemichemi za maji.”


Nikasikia malaika anayekuwa na uwezo wa kuamuru maji akisema: “Ewe Mutakatifu unayekuwa na uliyekuwa, wewe unahukumu kufuatana na haki.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ