Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Ufunuo 16:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Malaika wa pili akamwanga kikombe chake katika bahari. Maji yakageuka na kuwa kama damu ya mufu, na viumbe vyote vyenye uzima vilivyokuwa ndani ya bahari vikakufa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Ufunuo 16:3
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

kila kiumbe chenye uzima katika inchi kavu kilikufa.


Akageuza mito yao kuwa damu, akaua samaki wao wote.


Aligeuza ile mito kuwa damu, Wamisri wasipate maji ya kunywa.


Nitakuhukumu kama vile wanawake wanaovunja ahadi ya ndoa au wauaji wanavyohukumiwa; nitakuhukumu kwa azabu ya kifo kwa hasira na kwa ajili ya wivu.


Siku ile watu waliosadiki mafundisho ya Petro, wakabatizwa. Na kadiri ya watu elfu tatu wakaongezeka katika kundi la wanafunzi.


Alikuwa akishika kitabu kidogo chenye kufunguliwa. Halafu akaweka muguu wake wa kuume juu ya bahari na muguu wa kushoto juu ya inchi kavu.


Nao wako na uwezo wa kufunga mbingu kusudi mvua isinyeshe wakati wanapotangaza ujumbe wa Mungu. Wako vilevile na uwezo wa kugeuza maji kuwa damu, na uwezo wa kuleta mapigo ya kila namna kila wakati wanapotaka.


Kisha nikaona nyama mumoja wa ajabu akitokea ndani ya bahari. Alikuwa na vichwa saba na pembe kumi. Na juu ya kila pembe lake kulikuwa taji, na juu ya vichwa vile kulikuwa kumeandikwa jina la kumutukana Mungu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ