Ufunuo 13:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Basi yule nyama akaanza kumutukana Mungu, akatukana jina lake na makao yake na wale wanaokaa mbinguni. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Kisha mambo haya, nikaangalia nami nikaona mukutano mukubwa sana wa watu wasioweza kuhesabiwa. Kulikuwa watu wa kila taifa, wa kila kabila, wa kila jamaa na wa kila luga. Walikuwa wakisimama mbele ya kiti cha kifalme na mbele ya Mwana-Kondoo, wakivaa kanzu nyeupe na kushika matawi ya muti wa ngazi katika mikono yao.