Ufunuo 10:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Nami nikaenda karibu na yule malaika, nikamwomba anipe kile kitabu kidogo. Naye akaniambia: “Ukitwae na ukikule, kitakuwa uchungu katika tumbo lako, lakini kitakuwa kitamu kama asali ndani ya kinywa chako.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |