Ufunuo 10:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 Na ngurumo zile saba zilipokwisha kusikilika, nikajitayarisha kwa kuandika. Lakini nikasikia sauti kutoka mbinguni, ikiniambia hivi: “Uchunge kwa siri maneno yaliyosemwa na zile ngurumo saba.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |