Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Ufunuo 10:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Alikuwa akishika kitabu kidogo chenye kufunguliwa. Halafu akaweka muguu wake wa kuume juu ya bahari na muguu wa kushoto juu ya inchi kavu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Ufunuo 10:2
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Uniombe nami nitakupa mataifa kuwa urizi wako, na dunia nzima kuwa mali yako.


Heri wale unaowachagua na kuwaleta karibu, waishi katika kiwanja chako. Sisi tutatoshelewa na mazuri ya nyumba yako, mazuri ya hekalu lako takatifu.


Toka magaribi mpaka mashariki, kila mutu atamwogopa Yawe na kutambua utukufu wake. Maana atakuja kama muto wenye kuporomoka mbio, muto unaosukumwa kwa upepo wa Yawe.


Kisha Yesu akakuja karibu nao, na kuwaambia: “Nimepewa mamlaka yote mbinguni na katika dunia.


Halafu yule malaika niliyemwona akisimama juu ya bahari na inchi kavu akainua mukono wake wa kuume juu.


Kisha nikaona mambo haya: Mwana-Kondoo alipofungua kifundo cha muhuri wa kwanza kati ya ile mihuri saba, nikasikia kimoja kati ya vile viumbe vya ajabu kikisema hivi kwa sauti kama ya ngurumo ya radi: “Kuja!”


Kisha Mwana-Kondoo akafungua kifundo cha muhuri wa pili. Nikasikia kiumbe cha pili cha ajabu kikisema: “Kuja!”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ