Tito 3:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20023 Kwa maana zamani sisi vilevile tulikuwa wajinga, waasi na wapotovu. Tulikuwa tumetawaliwa na kila namna ya tamaa mbaya na ya vitu mbalimbali vilivyotuvuta sana. Tuliishi katika uovu na wivu, tuliwachukiza watu nao walituchukia. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |