Tito 3:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
12 Wakati nitakapokutumia Artema au Tikiko, ufanye bidii sana kuja kukutana nami kule Nikopoli, kwa maana nimekusudia kukaa kule wakati wa baridi kali.
Na hawa ndio watu waliokwenda pamoja naye: Sopateri mwana wa Piro, wa muji Beroya; Aristarko na Sekundo, wa muji Tesalonika; Gayo, wa muji Derbe; nao Timoteo, Tikiko na Trofimo, wa jimbo la Azia.
Tikiko, ndugu yetu mupendwa na mutumishi mwaminifu wa Bwana atawapasha habari zangu zote, kusudi mupate kujua kama mimi ni katika hali gani na namna kazi inavyoendelea.