Tito 1:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 muzee wa kanisa anapaswa kuwa mutu asiyeshitakiwa neno lolote. Sherti akuwe na muke mumoja nao watoto wake wanapaswa kuwa waamini na wasioshitakiwa neno juu ya mwenendo mubaya au juu ya kukosa utii. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |