Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Ruta 4:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Halafu Boazi akamwambia yule ndugu yake: “Sasa Naomi ambaye amerudi kutoka Moabu, anataka kuuzisha shamba ambalo lilikuwa la ndugu yetu Elimeleki.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Ruta 4:3
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mutu muzuri anakopesha bila faida; anafanya shuguli zake kwa kutumia haki.


Kiburi kinasababisha tu ugomvi, lakini kwa wanaokubali shauri jema kuna hekima.


Hanameli mwana wa baba yako mudogo Salumu atakuja kwako na kusema: Nunua shamba langu linalokuwa kule Anatoti, maana wewe ni ndugu yangu kabisa, nawe uko na haki ya kulikomboa.


Kama ndugu yako anakuwa masikini, akiuzisha shamba lake, basi, ndugu yake wa karibu mwenye madaraka ya kulikomboa, atalikomboa.


Mutu yule aliitwa Elimeleki na muke wake aliitwa Naomi. Watoto wao wawili wanaume, mumoja aliitwa Malona na mwingine Kiliona. Mutu yule na jamaa yake walikuwa wa kabila la Efuraimu kule Betelehemu katika Yuda. Walikwenda katika inchi ya Moabu, wakakaa kule.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ