Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Obadia 1:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Kiburi chako kimekudanganya: wewe unayekaa ndani ya mashimo chini ya mawe makubwa na makao yako yapo juu kwenye milima, hivyo unajisemesha: Nani anayeweza kunishusha chini?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Obadia 1:3
21 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwa hiyo, Esau akakwenda kukaa katika inchi ya milima ya Seiri. Jina lingine la Esau ni Edomu.


Amazia aliwaua Waedomu elfu kumi katika Bonde la Chumvi. Aliutwaa kwa nguvu muji wa Sela na kuuita Yokiteli, na hivi ndivyo unavyoitwa mpaka sasa.


Amazia akajipa moyo akaongoza jeshi lake mpaka kwenye Bonde la Chumvi. Hapo akapigana na kuwaua watu elfu kumi wa Seiri.


Na wengine watu elfu kumi, wakakamatwa na kuwapandisha juu ya jiwe kubwa na kuwatupa chini toka juu ya jiwe, wakavunjika vipandevipande.


Mwovu akiweza kupanda hata kufikia mbingu, na kichwa chake kufika kwenye mawingu,


Kiburi kinatangulia maangamizi; majivuno yanatangulia maanguko.


Majivuno ya ndani ya moyo yanaleta maangamizi, lakini unyenyekevu unaleta heshima.


Kiburi cha mutu kinamuzaraulisha mwenyewe, lakini munyenyekevu wa roho atapata heshima.


Watu wa Yuda wanasema hivi: Tumesikia juu ya kiburi cha Moabu, tunajua jinsi alivyojivuna sana; tumesikia juu ya majivuno, kiburi na mazarau yake; lakini majivuno yake hayo ni bure.


Sasa mimi nitapigana nanyi: ninyi munaoishi katika bonde, munaokaa kwenye mawe katika uwanja, ninyi munaosema: Nani atasubutu kutushambulia? Nani anayeweza kuingia katika makao yetu?


Yawe anasema hivi: Musijidanganye wenyewe na kusema kwamba waaskari wa Wakaldea wataondoka. Kweli hawataondoka.


Enyi wenyeji wa Moabu, mutoke katika miji, muende kukaa chini ya mawe! Muige jinsi njiwa anavyojenga chicha chini ya jiwe.


Vitisho unavyotoa na kiburi chako vimekudanganya, ewe unayekaa katika mapango ya mawe, unayeishi juu ya kilele cha mulima! Ingawa unaweka makao yako juu kama ya tai, mimi nitakuporomosha kutoka huko unakokuwa. –Ni ujumbe wa Yawe.


Mbona munajivunia mabonde yenu, enyi musiokuwa waaminifu, ninyi watu muliotegemea mali zenu, mukisema: Nani atasubutu kupigana nasi?


Ustawi wa biashara yako ulikujaza ukali, ukatenda zambi. Kwa hiyo nilikufukuza kama muchafu, mbali na mulima wangu mutakatifu. Na yule kerubi aliyekulinda akakufukuzia mbali na mawe yanayometameta.


Waedomu, wale wazao wa Esau, wanasema kwamba ingawa miji yao imeharibiwa, watajenga upya mabomoko yake. Lakini, Yawe wa majeshi anasema hivi: Wanaweza kuijenga upya, lakini mimi nitaibomoa tena. Watu watawaita: Taifa ovu ambalo Yawe amelikasirikia milele.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ