Nehemia 9:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20025 Walawi, ni kusema Yesua, Kadimieli, Bani, Hasabuea, Serebia, Hodia, Sebania na Petahia, wakawaambia watu: Musimame na kumusifu Yawe, Mungu wenu. Mumusifu milele na milele! Na watu wakasifu jina lako tukufu, ambalo linatukuka kuliko baraka na sifa zote. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |