18 hata walipojitengenezea sanamu ya mwana-ngombe na kusema: “Huyu ndiye Mungu wetu aliyetutoa kutoka katika inchi ya Misri.” Wakakuchukiza sana
Lakini hawakukuwa waaminifu kwako. Wakakuasi, wakaacha sheria yako na kuwaua manabii waliowaonya kusudi wakurudilie wewe. Wakatenda zambi kubwa mbele yako.
Enyi Waisraeli, wakati ule mulipokuwa kule katika jangwa kwa miaka makumi ine, muliniletea matoleo na sadaka hata mara moja?