Nehemia 8:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Wakasoma vizuri toka kitabu cha Sheria ya Mungu na kuifafanua na watu wote waliweza kuielewa. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Halafu wakapanga siku ya kukutana na Paulo. Na siku ile watu wengi zaidi wakamufikia pahali alipopanga. Na tangu asubui mpaka magaribi Paulo akawaelezea mambo mengi na kutoa ushuhuda juu ya habari za Ufalme wa Mungu. Alitaka wasadiki habari za Yesu akitaja maneno ya Sheria ya Musa na ya vitabu vya manabii.