Nehemia 8:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200218 Kila siku, tangu siku ya kwanza mpaka ya mwisho, Ezra aliwasomea watu kitabu cha Sheria ya Mungu. Wakafanya sikukuu ile kwa muda wa siku saba. Na siku ya nane wakafanya mukutano mukubwa wa kufunga sikukuu, kama vile ilivyoagizwa. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |