Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Nehemia 8:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Kesho yake, wakubwa wa ukoo pamoja na makuhani na Walawi wakakusanyika kwa Ezra mwandishi, kwa kujifunza Sheria.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Nehemia 8:13
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

watu waliamua kwa shauri moja kuendelesha sherehe kwa muda wa siku saba zaidi. Basi wakaendelea kusherehekea kwa furaha kubwa kwa muda wa siku saba zaidi.


Watu wote wakarudi kwao kwa kula na kunywa, wakifurahi na kuwagawanyia wengine chakula kwa sababu walielewa yote waliyotangaziwa.


Wakagundua kwamba, imeandikwa katika kitabu cha Sheria kuwa Yawe alimwamuru Musa, kwamba watu wanapaswa kukaa katika vibanda wakati wa sikukuu ya mwezi wa saba.


Anayependa mafundisho anapenda maarifa, lakini asiyependa kuonywa ni mujinga.


Basi wakasemezana: “Mioyo yetu ilichangamuka sana wakati alipokuwa akisimulia nasi katika njia na kutuelezea Maandiko Matakatifu.”


Paulo na Barnaba walipotoka ndani ya ile nyumba ya kuabudia, watu wakawasihi warudie tena kuwaelezea maneno yale yale kwa siku ya Sabato iliyofuata.


Petro na Yoane walipokuwa wangali wakisema mbele ya watu, makuhani, mukubwa wa walinzi wa hekalu pamoja na Wasadukayo wakafika.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ