Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Nehemia 8:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Watu wote wakarudi kwao kwa kula na kunywa, wakifurahi na kuwagawanyia wengine chakula kwa sababu walielewa yote waliyotangaziwa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Nehemia 8:12
25 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi siku ile wakakula na kunywa kwa furaha kubwa mbele ya Yawe. Kwa mara ya pili wakamuweka Solomono mwana wa Daudi kuwa mufalme. Wakamupakaa mafuta apate kuwa mutawala katika jina la Yawe, na Zadoki akuwe kuhani.


Sasa murudi kwa nyumba mufanye sherehe, mukule vyakula na kunywa divai nzuri, lakini mukumbuke kuwapelekea wale ambao hawana kitu cha kutosha; maana leo ni siku takatifu kwa Bwana wetu. Musihuzunike kwa sababu furaha Yawe anayowajalia itawapa nguvu.”


Halafu, Walawi wakawatuliza watu wote, wakisema: “Munyamaze maana siku ya leo ni takatifu; musihuzunike.”


Kesho yake, wakubwa wa ukoo pamoja na makuhani na Walawi wakakusanyika kwa Ezra mwandishi, kwa kujifunza Sheria.


Wayuda walishinda waadui zao katika siku hizo, na katika mwezi huo huzuni yao iligeuzwa kuwa furaha, na kilio chao kuwa sikukuu. Waliagizwa wakuwe wanazikumbuka siku hizo kwa kufanya karamu na sherehe, kupelekeana zawadi za chakula na kuwapa wamasikini vitu.


Sijaacha hata kidogo kushika amri yake; maneno yake nimeyatunza ndani ya moyo wangu.


Maagizo yako ni urizi mukubwa kwangu milele; hayo ni furaha ya moyo wangu.


Kweli, ninapenda amri zako, kuliko hata zahabu safi kabisa.


Maelezo ya mafundisho yako yanaleta mwangaza; yanawapa akili wajinga.


Ninafurahi kufuata maagizo yako, kuliko kuwa na utajiri mwingi.


Ninafurahia masharti yako; sitasahau neno lako.


Midomo yangu itatangaza sifa zako, maana unanifundisha masharti yako.


Ninatamani sana uniokoe, ee Yawe; sheria yako ndiyo furaha yangu.


Sheria uliyoweka ni bora kwangu, kuliko mali zote za dunia.


Ninapenda sana sheria yako! Ninafikiri juu yake muchana kutwa!


Palepale maneno yako yaliponifikia, niliyameza; nayo yakanifurahisha, yakakuwa matamu katika moyo wangu, maana mimi ninajulikana kwa jina lako, ee Yawe wa majeshi.


Basi wakasemezana: “Mioyo yetu ilichangamuka sana wakati alipokuwa akisimulia nasi katika njia na kutuelezea Maandiko Matakatifu.”


Kwa maana ninajua kwamba hakuna kitu kizuri kinachokaa ndani yangu, ni kusema katika hali yangu ya kimwili. Ni hivi kwa sababu ninakuwa na utashi wa kufanya jambo jema, lakini sifikii kulifanya.


Wakaaji wa dunia watafurahi kwa ajili ya kifo chao na kushangilia. Watatumiana zawadi, kwa maana manabii hawa wawili waliwasumbua sana wakaaji wa dunia.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ