Nehemia 7:71 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
71 Matoleo ya watu wengine wote yalikuwa kilo mia moja makumi sita na nane za zahabu, kilo mia moja makumi ine za feza na nguo za makuhani makumi sita na saba.
walitoa kwa ajili ya kazi za nyumba ya Mungu: toni mia moja makumi saba za zahabu, vikoroti elfu kumi vya zahabu, na zaidi ya toni mia tatu za feza, yapata toni mia sita za shaba, na zaidi ya toni elfu mia tatu za chuma.
Kwa maana kama mutu akiwa na moyo wa kutoa, Mungu anakubali kitu anachotoa kufuatana na kile anachokuwa nacho, wala si kufuatana na kile asichokuwa nacho.