69 Wakubwa wamoja wa ukoo walichangia kazi ya ujenzi. Mutawala wa jimbo alitoa kilo nane za zahabu, mabeseni makumi tano, nguo mia tano na makumi tatu ya makuhani.
Wakubwa wa ukoo walitoa kilo mia moja makumi sita na nane za zahabu, na kilo elfu moja mia mbili na makumi tano za feza.