60 Watumishi wote wa hekalu na wazao wa watumishi wa Solomono, waliorudi kutoka katika uhamisho, walikuwa mia tatu makumi tisa na wawili.
Watu wa kwanza kurudia katika miji ya inchi yao walikuwa Waisraeli wa kawaida, makuhani, Walawi na watumishi wa hekalu.
Watumishi wote wa hekalu na wazao wa watumishi wa Solomono waliorudi kutoka katika uhamisho walikuwa watu mia tatu makumi kenda na wawili.
Watu walirudi kutoka miji hii: Teli-Mela, Teli-Harsa, Kerubu, Adoni, Imeri. Lakini haikuwezekana kuhakikisha kwamba walikuwa wazao wa Waisraeli.