Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Nehemia 7:45 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

45 Walinzi wa milango walikuwa wazao wa: Salumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita, Sobayi. Walikuwa mia moja makumi tatu na wanane.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Nehemia 7:45
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hivyo, wakaondoka katika kambi ya Waaramu na kuwaita walinda milango ya muji na kuwaambia: “Tulikwenda katika kambi ya Waaramu na hatukuweza kumwona wala kumusikia mutu yeyote. Farasi na punda wangali wanafungwa, na mahema yako kama walivyoyaacha.”


Walinzi wa mulango (wazao wa Salumu, wa Ateri, wa Talmoni, wa Akubu, wa Hatita na wa Sobayi), walikuwa mia moja makumi tatu na tisa.


Sehemu inayofuata ikajengwa upya na Salumu mwana wa Halohesi, mutawala wa nusu nyingine ya wilaya ya Yerusalema. Alisaidiana na binti zake katika ujenzi huo.


Waimbaji: wazao wa Asafu walikuwa mia moja makumi ine na wanane.


Ukoo za watumishi wa hekalu waliorudi kutoka katika uhamisho zilikuwa ukoo za: Siha, Hasufa, Tabaoti, Kerosi, Siaha, Padoni, Lebana, Hagaba, Salmai, Hanani, Gideli, Gahari, Reaya, Resini, Nekoda, Gazamu, Uza, Pasea, Besayi, Munimu, Nefusesimu, Bakibuki, Hakufa, Harihuri, Basiliti, Mehida, Harsa, Barkosi, Sisera, Tema, Nezia, Hatifa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ