44 Waimbaji: wazao wa Asafu walikuwa mia moja makumi ine na wanane.
Wana wa Asafu: Zakuri, Yosefu, Netania na Asarela. Hao walikuwa chini ya uongozi wa Asafu aliyetabiri wakati wote chini ya uongozi wa mufalme.
Waimbaji (wazao wa Asafu), walikuwa mia moja makumi mbili na wanane.
Walawi wa ukoo wa Yesua, ni kusema Kadimieli, wazao wa Hodavia waliorudi kutoka katika uhamisho walikuwa makumi saba na wane.
Walinzi wa milango walikuwa wazao wa: Salumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita, Sobayi. Walikuwa mia moja makumi tatu na wanane.