Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Nehemia 7:43 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

43 Walawi wa ukoo wa Yesua, ni kusema Kadimieli, wazao wa Hodavia waliorudi kutoka katika uhamisho walikuwa makumi saba na wane.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Nehemia 7:43
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Walawi wa ukoo wa Yesua na wa Kadimieli, wazao wa Hodavia waliorudi kutoka katika uhamisho walikuwa makumi saba na wane.


Walawi: Yesua mwana wa Azania, Binui wa uzao wa Henadadi, Kadimieli na wandugu zao: Sebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani, Mika, Rehobu, Hasabia, Zakuri, Serebia, Sebania, Hodia, Bani, Beninu.


Na katika miji mingine, watu wa Israeli, makuhani, Walawi, walinzi wa milango na wazao wa watumishi wa Solomono, walikaa katika maeneo yao wenyewe, katika miji yao.


Walawi walikuwa: Yesua, Binui, Kadimieli, Serebia, Yuda na Matania, ambaye alishugulika na usimamizi wa nyimbo za shukrani akishirikiana na ndugu zake.


Sehemu inayofuata ikajengwa upya na Refaya mwana wa Huri, mukubwa wa nusu ya wilaya ya Yerusalema.


wa ukoo wa Harimu: elfu moja na kumi na saba.


Waimbaji: wazao wa Asafu walikuwa mia moja makumi ine na wanane.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ