40 wa ukoo wa Imeri: elfu moja na makumi tano na wawili;
wa ukoo wa Imeri: elfu moja na makumi tano na wawili;
Zadoki mwana wa Imeri akajenga upya sehemu inayoelekeana na nyumba yake. Sehemu inayofuata, ikajengwa upya na Semaya mwana wa Sekania, mulinzi wa Mulango wa Mashariki,
Hii ndiyo hesabu ya makuhani waliorudi kutoka katika uhamisho: makuhani wa ukoo wa Yedaya, waliokuwa wazao wa Yesua: mia tisa makumi saba na watatu;
wa ukoo wa Pashuri: elfu moja mia mbili makumi ine na saba;