36 wa muji wa Yeriko: mia tatu makumi ine na watano;
wa muji wa Yeriko: mia tatu makumi ine na watano;
Sehemu iliyofuata ilijengwa upya na watu wa muji wa Yeriko. Nyuma ya hayo aliyefuata ni Zakuri mwana wa Imuri kwa kujenga sehemu ya ukuta.
wa muji wa Harimu: mia tatu na makumi mbili;
wa miji ya Lodi, Hadidi na Ono: mia saba makumi mbili na mumoja;