35 wa muji wa Harimu: mia tatu na makumi mbili;
Wazao wa Harimu: Eliezeri, Isia, Malkia, Semaya, Simeoni,
wa muji wa Harimu: mia tatu na makumi mbili;
Sehemu inayofuata pamoja na Munara wa Furu vilijengwa upya na Malkiya, mwana wa Harimu akishirikiana na Hasubu mwana wa Pahati-Moabu.
wa muji mwingine wa Elamu: elfu moja mia mbili makumi tano na wane;
wa muji wa Yeriko: mia tatu makumi ine na watano;