32 wa miji ya Beteli na Ai: mia moja makumi mbili na watatu;
wa muji wa Beteli na Ai: mia mbili makumi mbili na watatu;
Watu wa kabila la Benjamina walikaa Geba, Mikimasi, Ai, Beteli na vijiji vinavyoizunguka.
wa muji wa Mikimasi: mia moja makumi mbili na wawili;
wa muji mwingine wa Nebo: makumi tano na wawili;
Hakuna mutu yeyote aliyebaki katika muji wa Ai, waliuacha muji ule wazi wakaenda kuwafuatilia Waisraeli.
Basi, Yoshua akawaambia waende pahali pao pa kuvizia; nao wakajiweka upande wa magaribi wa muji wa Ai, kati ya muji wa Ai na Beteli. Lakini Yoshua akalala usiku huo katika kambi ya Waisraeli.