31 wa muji wa Mikimasi: mia moja makumi mbili na wawili;
wa muji wa Mikimasi: mia moja makumi mbili na wawili;
wa miji ya Rama na Geba: mia sita makumi mbili na mumoja;
wa miji ya Beteli na Ai: mia moja makumi mbili na watatu;
amefika katika muji wa Ayati. Amepitia kule Migoroni, mizigo yake ameiacha katika muji wa Mikimasi.
Wafilistini walipeleka kikundi cha waaskari kwenda kulinda njia ya Mikimasi.
Wafilistini walikuwa na magari elfu makumi tatu, waaskari elfu sita wapanda-farasi na kikundi cha waaskari wa miguu wengi kama muchanga wa bahari. Wote walipanda juu na kupiga kambi yao kule Mikimasi, upande wa mashariki wa Beti-Aweni.