30 wa miji ya Rama na Geba: mia sita makumi mbili na mumoja;
wa muji wa Rama na wa Geba: mia sita makumi mbili na mumoja;
Watu wa kabila la Benjamina walikaa Geba, Mikimasi, Ai, Beteli na vijiji vinavyoizunguka.
vilevile kutoka Beti-Gilgali, eneo la Geba na Azimaweti, kwa sababu waimbaji walikuwa wamejijengea vijiji kandokando ya Yerusalema.
wa miji ya Kiriati-Yearimu, Kefira na Beroti: mia saba makumi ine na watatu;
wa muji wa Mikimasi: mia moja makumi mbili na wawili;