29 wa miji ya Kiriati-Yearimu, Kefira na Beroti: mia saba makumi ine na watatu;
wa muji wa Kiriati-Yearimu, wa Kefira na wa Beroti: mia saba makumi ine na watatu;
wa muji wa Beti-Azimaweti: makumi ine na wawili;
wa miji ya Rama na Geba: mia sita makumi mbili na mumoja;
Basi, Waisraeli wakafunga safari, nyuma ya siku ya tatu wakafika katika miji yao. Miji hiyo ilikuwa Gibeoni, Kefira, Beroti na Kiriati-Yearimu.
wakaenda kupiga kambi yao kule Kiriati-Yearimu katika inchi ya Yuda. Ndiyo maana pahali pale, upande wa magaribi wa Kiriati-Yearimu pameitwa Kambi ya Dani mpaka leo.