26 Watu wa miji hii vilevile walirudi: wa muji wa Betelehemu na Netofa: mia moja makumi nane na wanane;
Zalmoni wa muji Ahoa; Maharai wa muji Netofa;
Helebu mwana wa Bana wa muji Netofa; Itayi mwana wa Ribayi toka Gibea katika kabila la Benjamina;
Wazao wa waimbaji wakakusanyika kutoka vijiji vya Yerusalema na vijiji vya Wanetofati,
ukoo wa Gibeoni: makumi kenda na watano.
wa muji wa Anatoti: mia moja makumi mbili na wanane;
walimwendea Gedalia kule Misipa. Watu hao walikuwa Isimaeli mwana wa Netania, Yohana na Yonatani wana wa Karea, Seraya mwana wa Tanumeti, nao wana wa Efai kutoka muji Netofa, na Yezania wa muji wa Makati; wote pamoja na watu wao.