13 ukoo wa Zatu: mia nane makumi ine na watano;
Wazao wa Zatu: Eliyoenayi, Eliasibu, Matania, Yeremoti, Zabadi na Aziza.
wa ukoo wa Zatu: mia tisa makumi ine na watano;
ukoo wa Elamu: elfu moja mia mbili makumi tano na wane;
ukoo wa Zakayi: mia saba na makumi sita;