Nehemia 6:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200218 Wengi kati ya Wayuda walishirikiana naye kutokana na kiapo chao maana alikuwa mukwe wa Sekania mwana wa Ara. Zaidi ya yote, Yehohanani mwana wake, alikuwa amemwoa binti Mesulamu mwana wa Berekia. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |