Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Nehemia 6:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Wakati ule wote, viongozi wa Wayuda walikuwa wakiandikiana na Tobia.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Nehemia 6:17
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mumoja kati ya wana wa Yoyada mwana wa Kuhani Mukubwa Eliasibu, alioa binti wa Sanibalati kutoka muji wa Beti-Horoni, kwa sababu hiyo nikamufukuza kutoka mbele yangu.


Mbele ya siku ya sherehe, kuhani Eliasibu aliyekuwa amechaguliwa kwa kulinda vyumba vya nyumba ya Mungu wetu, na mwenye ushirika mwema na Tobia,


Sehemu inayofuata ikajengwa na watu kutoka muji wa Tekoa. Lakini viongozi wa muji wakakataa kufanya kazi ya mikono waliyoagizwa kufanya na wasimamizi.


Nikaamua kukamata hatua. Nikawaonya wakubwa na wasimamizi, nikawaambia: “Munawatesa wandugu zenu.”


Waadui zetu katika mataifa jirani, waliposikia kwamba kazi tumeimaliza, wakaogopa na kupata haya sana; maana walijua hakika kwamba kazi hii ilikamilika kwa musaada wa Mungu wetu.


Wengi kati ya Wayuda walishirikiana naye kutokana na kiapo chao maana alikuwa mukwe wa Sekania mwana wa Ara. Zaidi ya yote, Yehohanani mwana wake, alikuwa amemwoa binti Mesulamu mwana wa Berekia.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ