Nehemia 6:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200210 Nilipokwenda kwa Semaya mwana wa Delaya mujukuu wa Mehetabeli, ambaye hakuruhusiwa kutoka kwake, akaniambia: “Twende tukutane katika nyumba ya Mungu na milango yake tuifunge kwa sababu leo usiku watakuja kukuua.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |