Nehemia 5:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Nikasema: “Kulingana na uwezo tunaokuwa nao, tumekuwa tukiwanunua tena wandugu zetu Wayuda waliokuwa wameuzishwa kwa watu wa mataifa mengine. Lakini sasa hata munawauzisha wandugu zenu, nasi tunalazimika kuwanunua!” Basi wakanyamaza kimya, bila kuwa na la kujibu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |