Nehemia 5:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200218 Kila siku, kwa kuwalisha watu hao, nilichinjiwa ngombe dume mumoja na kondoo safi sita na kuku. Kila mara kisha siku kumi nilitoa divai kwa wingi. Lakini zaidi ya haya yote, kwa sababu watu walikuwa na muzigo muzito wa kubeba kila siku, sikutaka posho ya zaidi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |