Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Nehemia 5:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Zaidi ya hayo, kila siku niliwakulisha watu mia moja na makumi tano, kati yao kukiwa Wayuda na wakubwa zaidi ya wale watu waliotufikia toka mataifa jirani.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Nehemia 5:17
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwa hiyo, Mefiboseti aliyekuwa kilema wa miguu yake yote akakuwa anaishi katika Yerusalema, na kupata chakula chake kwenye meza ya mufalme siku zote.


Daudi akamwambia: “Usiogope. Mimi nitakutendea mema kwa ajili ya baba yako Yonatani. Nitakurudishia yale mashamba yote yaliyokuwa ya babu yako Saulo. Nawe, utakula kwenye meza yangu siku zote.”


Sasa, uwakusanye watu wote wa Israeli mbele yangu kule kwenye mulima Karmeli. Vilevile, uwakusanye wale manabii mia ine na makumi tano wa Bali, na manabii mia ine wa Ashera ambao wanakulishwa na malkia Yezebeli.”


ngombe wanono kumi, na ngombe makumi mbili toka shamba la malisho, kondoo mia moja pamoja na kulungu, paa, swala na kuku wanono.


Nilikuwa na juhudi nyingi katika ujenzi mupya wa ukuta huu na sikujipatia hata shamba. Hata watumishi wangu wote walifanya kazi hii kwa bidii.


Lakini wenye heshima wanatenda mambo ya heshima, nao wanatetea mambo yenye heshima.


Muwasaidie watu wa Mungu katika mahitaji yao na muwakaribishe wageni.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ