Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Nehemia 4:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Waadui waliposikia kwamba tumekwisha kuvumbua mipango yao na kwamba Mungu amevuruga mipango hiyo, ndipo sisi wote tukaurudilia ukuta, kila mumoja akaendelea na kazi yake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Nehemia 4:9
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Naye akamwuliza: “Jina lako nani?” Yeye akamujibu: “Yakobo.”


Tokea siku ile na kuendelea, nusu ya watumishi wangu wakakuwa wanaendelea na ujenzi wakati nusu ingine ikakuwa inashika ulinzi wakiwa na mikuki, ngao, pinde na nguo za chuma. Viongozi wetu wakakuwa upande wa watu wa Yuda


waliokuwa wanajenga ukuta. Hata wale waliokuwa wanabeba vifaa vya ujenzi wakaendelea na kazi mukono mumoja ukiwa na vifaa vya ujenzi na mukono mwingine silaha yake.


Anavunja mipango ya wadanganyifu, matendo yao yasipate mafanikio.


Yawe anavunja mipango ya mataifa, na anabadilisha mawazo yao.


Uniite wakati wa taabu, nami nitakuokoa, nawe utanitukuza.”


Yawe analinda maarifa lakini anayavuruga maneno ya waovu.


Mukeshe na muombe, kusudi musianguke katika majaribu; kwa maana roho ni hodari, lakini mwili ni zaifu.”


Basi mukeshe na kuomba kila wakati, kusudi mupate nguvu ya kuepuka mambo hayo yote yatakayotokea, nanyi mupate kuweza kusimama mbele ya Mwana wa Mutu.”


Mukuwe waangalifu na mukeshe, kwa maana adui yenu Shetani anazungukazunguka kama simba anayenguruma akitafuta yule atakayerarua.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ