Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Nehemia 4:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Hivyo ikakuwa mimi, wandugu zangu, watumishi wangu hata na walinzi waliofuatana nami, hatukuvua nguo zetu; kila mumoja wetu akakuwa na silaha yake katika mukono siku zote.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Nehemia 4:17
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nikawaambia wakubwa, wasimamizi na watu wote kwa jumla: “Kazi ni kubwa, na kuna hatua kubwa kati ya mutu na mwenzake juu ya ukuta.


Wakati ule nikawaambia watu: “Kila mwanaume na mutumishi wake atakaa katika Yerusalema usiku, kusudi tukuwe na ulinzi usiku, na wakati wa muchana wataendelea na kazi.”


Wamusifu Mungu kwa sauti kubwa, wakishika panga zenye kukata pande mbili,


Kila mumoja wao ameshika upanga, kila mumoja wao ni hodari wa vita. Kila mumoja ana upanga wake kwenye kiuno, tayari kupambana na adui usiku.


Basi, ujue na kufahamu jambo hili: tangu wakati amri itakapotolewa ya kujengwa upya Yerusalema mpaka kuja kwa yule aliyepakwa mafuta, yule anayekuwa mukubwa, ni muda wa majuma saba. Kwa muda wa majuma makumi saba na mawili, Yerusalema utajengwa upya, wenye barabara kubwa na kuta, lakini wakati huo utakuwa wa taabu.


Hakuna anayemusukuma mwenzake; kila mumoja anafuata njia yake. Wanapita kati ya vizuizi vya silaha, wala hakuna kinachoweza kuwazuia.


Mukeshe, musimame imara katika imani, mukuwe hodari na wenye nguvu.


Kwa maana nimepata hapa wakati muzuri wa kufanya kazi kubwa ijapokuwa wapinzani ni wengi.


Ikiwa wengine wako na haki ya kupata vitu kama vile toka kwenu, sisi hatuna haki zaidi kuliko wao? Sisi hatudai kutendewa sawa na haki yetu, lakini tunavumilia kusudi tusiiwekee Habari Njema ya Kristo kizuizo chochote.


ya ujumbe wa neno la kweli, na ya uwezo wa Mungu. Tunatumia kama vile silaha mambo ya haki kwa kushambulia na kujikinga.


Musiogope waadui zenu hata kidogo. Hii itakuwa kitambulisho kwao kwa kuhakikisha kwamba wanapotea, lakini kwenu ni kwamba munaokolewa. Na hii inatoka kwa Mungu.


Ushiriki katika mateso kama vile askari mwema wa Kristo Yesu.


Nimeshindana vizuri, nimekimbia na kufika mwisho wa mashindano yangu. Nimelinda imani yangu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ