Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Nehemia 4:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Wakati ule nikawaambia watu: “Kila mwanaume na mutumishi wake atakaa katika Yerusalema usiku, kusudi tukuwe na ulinzi usiku, na wakati wa muchana wataendelea na kazi.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Nehemia 4:16
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hivyo, tukaendelea kufanya kazi yetu na nusu ya watu wakishika silaha tangu mapambazuko mpaka nyota zinapoonekana mbinguni.


Hivyo ikakuwa mimi, wandugu zangu, watumishi wangu hata na walinzi waliofuatana nami, hatukuvua nguo zetu; kila mumoja wetu akakuwa na silaha yake katika mukono siku zote.


Nitawaangalia waaminifu katika inchi, wapate kuishi pamoja nami. Watu wakamilifu, ndio watakaonitumikia.


Kanzu ile itakuwa na nafasi ya kupitishia kichwa katikati na nafasi hiyo itazungushiwa utepe uliofumwa kusudi isichanike.


Kila mumoja wao ameshika upanga, kila mumoja wao ni hodari wa vita. Kila mumoja ana upanga wake kwenye kiuno, tayari kupambana na adui usiku.


Mutandike farasi na kupanda juu yao. Mushike nafasi zenu, na muvae kofia za chuma. Munoe mikuki yenu, muvae nguo zenu za chuma.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ