Nehemia 4:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
11 waliokuwa wanajenga ukuta. Hata wale waliokuwa wanabeba vifaa vya ujenzi wakaendelea na kazi mukono mumoja ukiwa na vifaa vya ujenzi na mukono mwingine silaha yake.
Tokea siku ile na kuendelea, nusu ya watumishi wangu wakakuwa wanaendelea na ujenzi wakati nusu ingine ikakuwa inashika ulinzi wakiwa na mikuki, ngao, pinde na nguo za chuma. Viongozi wetu wakakuwa upande wa watu wa Yuda
Waadui waliposikia kwamba tumekwisha kuvumbua mipango yao na kwamba Mungu amevuruga mipango hiyo, ndipo sisi wote tukaurudilia ukuta, kila mumoja akaendelea na kazi yake.
Lakini hasara itakupata ambayo hautaweza kujiepusha nayo. Magumu yatakutokea ambayo hautaweza kuyapinga; maangamizi yatakufikia kwa rafla ambayo haujapata kuyaona hata kidogo.
Lakini wewe usikubali ombi lao, kwa sababu kuna watu zaidi ya makumi ine wanaovizia kumwua. Watu hawa wamefanya kiapo kwamba hawatakula wala kunywa mpaka wamwue Paulo kwanza.”