Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Nehemia 3:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Waliowafuata hao katika kazi hiyo ya kujenga upya walikuwa Melatia, Mugibeoni; Yadoni, Mumeronoti pamoja na watu wa muji wa Gibeoni na Misipa waliokuwa chini ya uongozi wa mutawala wa jimbo la upande wa magaribi wa muto Furati.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Nehemia 3:7
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwa hiyo, mufalme Daudi akawaita Wagibeoni. Wagibeoni hawakukuwa Waisraeli lakini walikuwa mabaki ya Waamori. Watu wa Israeli walikuwa wameapa kuwaacha wazima, lakini Saulo alijaribu kuwaua wote maana alikuwa na bidii ya upendeleo kwa watu wa Israeli na wa Yuda.


Kisha mufalme Asa aliwapeleka watu wote wa inchi ya Yuda, wakahamisha mawe ya Rama na mbao, vifaa ambavyo Basha alitumia kwa kujenga. Kisha Asa akatumia vifaa hivyo kwa kujenga miji ya Geba na Misipa.


Kwa mufalme Artasasta: Sisi watumishi wako katika jimbo la upande wa magaribi wa muto Furati, tunakutumia salamu.


Sehemu inayofuata inayoelekeana na gala ya silaha kwenye pembe ya ukuta ikajengwa upya na Ezeri mwana wa Yesua, mutawala wa Misipa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ