Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Nehemia 3:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 Sehemu inayofuata, tokea kwenye pembe ya ukuta na munara wa nyumba ya kifalme ya juu karibu na kiwanja cha walinzi ikajengwa upya na Palali mwana wa Uzayi. Pedaya mwana wa Parosi,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Nehemia 3:25
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

wa ukoo wa Parosi: elfu mbili mia moja makumi saba na wawili;


Na kutoka pale, tukapitia kwenye Mulango wa Efuraimu, Mulango wa Yesana, Mulango wa Samaki, Munara wa Hananeli, Munara wa Mia moja mpaka kwenye Mulango wa Kondoo. Tulimalizia maandamano yetu kwenye Mulango wa Walinzi.


ukoo wa Parosi: elfu mbili mia moja makumi saba na wawili;


Ezra, mwandishi, alikuwa akisimama kwenye mimbari ya mbao iliyotengenezwa kwa kusudi lile; na kwenye mukono wake wa kuume watu hawa walikuwa wakisimama: Matitia, Sema, Anaya, Uria, Hilkia na Masea; na kwenye mukono wake wa kushoto kulikuwa kunasimama watu hawa: Pedaya, Misaeli, Malkiya, Hasumu, Hasubadana, Zakaria na Mesulamu.


Wewe unayesema: Nitajijengea nyumba kubwa, yenye vyumba vikubwa vya magorofi. Kisha unaifanyia madirisha, ukafunika kuta zake kwa mbao za mierezi, na kuipaka rangi nyekundu!


Wakati huo, waaskari wa mufalme wa Babeli walikuwa wakizunguka Yerusalema kwa vita, naye nabii Yeremia alikuwa amefungwa katika baraza la walinzi uliokuwa ndani ya nyumba ya mufalme wa Yuda.


Neno la Yawe lilimufikia Yeremia mara ingine, wakati alipokuwa angali amefungwa katika baraza la walinzi, kusema hivi:


Basi, mufalme Zedekia akatoa amri Yeremia awekwe katika chumba cha walinzi na kupewa mukate kila siku kutoka kwa wapikaji wa mukate mpaka mikate ilipotoweka kabisa huko katika muji. Basi, Yeremia alibaki katika chumba cha walinzi.


Kisha wakamukokota Yeremia kwa kamba, wakamutosha ndani ya kisima. Kisha hayo, Yeremia akaendelea kukaa katika chumba cha walinzi.


Wakaldea waliichoma kwa moto nyumba ya kifalme na nyumba za watu; vilevile walizibomoa kuta za Yerusalema.


Nawe kilima cha Yerusalema, wewe munara wa Sayuni, ambamo Mungu anafanya ulinzi juu ya watu wake, kama muchungaji juu ya kondoo wake, wewe utakuwa tena muji wenye mamlaka sawa zamani. Yerusalema utakuwa tena muji mukubwa wa mufalme.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ