Nehemia 3:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
18 Nyuma yake, sehemu zinazofuata zikajengwa upya na wandugu zao. Sehemu inayofuata ikajengwa upya na Bawayi mwana wa Henadadi, mutawala wa nusu ya wilaya ya Keila.
Nyuma ya hao, Walawi waliendelesha ujenzi mupya wa ukuta. Sehemu inayofuata ikajengwa upya na Rehumu mwana wa Bani, na Hasabia, mutawala wa nusu ya wilaya ya Keila, akajenga upya sehemu ya upande wa wilaya yake.