Nehemia 3:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200214 Mulango wa Yalala ukajengwa upya na Malkiya mwana wa Rekabu, mukubwa wa wilaya ya Beti-Hakeremu. Akaweka mulango kwa nafasi yake, akatia vyuma na vifungio vyake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Yehu akatoka tena na alipofika katika njia akakutana na Yonadabu mwana wa Rekabu. Yehu akamusalimia, kisha akamwuliza: “Wewe una mawazo sawa na yangu? Utajiunga nami na kunisaidia?” Yonadabu akamujibu: “Ndiyo, nitajiunga nawe.” Yehu akasema: “Basi, unipe mukono wako.” Wakashikana mikono na Yehu akamupandisha ndani ya gari lake.