Nehemia 3:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200213 Mulango wa Bonde ukajengwa upya na Hanuni pamoja na wakaaji wa muji wa Zanoa. Wakaweka milango pahali pake, wakatia vyuma na vifungio vyake. Wakajenga upya ukuta ukiwa na urefu wa metre mia ine hivi mpaka kwenye mulango wa Yalala. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |