Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Nehemia 2:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Mufalme akaniuliza (malkia akiwa karibu naye): “Utakuwa kule kwa muda gani na utarudi hapa wakati gani?” Ombi langu akalikubali nami nikamujulisha wakati nitakaporudi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Nehemia 2:6
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ee Bwana, usikilize maombi yangu mimi mutumishi wako na ya watumishi wako wanaofurahia kukutii wewe. Ninakuomba unifanikishe leo, mimi mutumishi wako, na kunijalia kuhurumiwa na mufalme.” Mimi nilikuwa na madaraka ya kumupa mufalme kinywaji.


Wakati mambo haya yalipokuwa yanatendeka mimi sikukuwa Yerusalema; maana katika mwaka wa makumi tatu na mbili wa utawala wa mufalme Artasasta wa Babeli, nilikuwa nimeomba ruhusa; nami nikaenda kwake.


Halafu mufalme Artasasta akanijibu: “Sasa unaomba nini?” Nikamwomba Mungu wa mbinguni.


Halafu nikamwambia mufalme: “Ee mufalme, ikikupendeza na ikiwa nimepata kukubaliwa mbele yako, ninakuomba unitume katika inchi ya Yuda kusudi niende kuujenga upya muji ambamo muko makaburi ya babu zangu.”


Tangu wakati nilipochaguliwa kuwa mutawala wa inchi ya Yuda kwa miaka kumi na miwili ni kusema tangu mwaka wa makumi mbili mpaka mwaka wa makumi tatu na mbili wa utawala kwa mufalme Artasasta, sikukula chakula kinachostahili kukuliwa na mutawala, wala wandugu zangu hawakufanya hivyo.


Watu wako watajenga tena mabomoko ya zamani; mutajenga upya juu ya misingi iliyoachwa zamani. Nanyi mutaitwa watu waliotengeneza upya kuta, watu waliotengeneza tena barabara za miji.


Watayajenga upya mabomoko ya zamani, wataisimika miji iliyoharibika tangu mbele; wataitengeneza miji iliyobomolewa, uharibifu wa vizazi vingi vilivyopita.


Hata mbele hawajaniita, mimi nitawaitikia; mbele hawajamaliza kusema, nitakuwa nimewajibu.


Basi, ujue na kufahamu jambo hili: tangu wakati amri itakapotolewa ya kujengwa upya Yerusalema mpaka kuja kwa yule aliyepakwa mafuta, yule anayekuwa mukubwa, ni muda wa majuma saba. Kwa muda wa majuma makumi saba na mawili, Yerusalema utajengwa upya, wenye barabara kubwa na kuta, lakini wakati huo utakuwa wa taabu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ