2 Mufalme Artasasta akaniuliza: “Mbona unaonekana kuwa mwenye huzuni, ingawa hauonekani kuwa mugonjwa? Ninaona una huzuni sana ndani ya moyo wako!” Halafu nikaogopa sana.
Basi, Yosefu akawauliza wakubwa wale wa mufalme waliokuwa katika kifungo pamoja naye katika nyumba ya bwana wake: “Mbona leo muko na nyuso za huzuni?”
Tumaini la kungojangoja linaumiza moyo, lakini tazamio linalotimia ni musingi wa uzima.
Moyo wa furaha unaangarisha uso, lakini uchungu unavunja moyo.